Dark
Light

Tanzania - Page 243

Hoja za Muungano Zimefikia Pazuri

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amesema hatua ya utatuzi wa hoja za Muungano imefikia pazuri hivyo ni jukumu la Serikali kuendelea kutoa elimu hususan kwa vijana ili wapate uelewa kuhusu Muungano. Ameyasema hayo leo Juni 13, 2024 wakati akijibu swali la Mbunge
June 13, 2024

Tume Ya Uchaguzi, Wafungwa Na Wanafunzi Kupiga Kura

Katika juhudi za kuboresha ushiriki wa kila raia katika mchakato wa uchaguzi, Tume ya Uchaguzi imeanzisha mpango mpya wa kuwawezesha wafungwa, wanafunzi waliohukumiwa kifungo cha chini ya miezi sita, na mahabusu kupiga kura. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, ametangaza kuwa Tume
June 13, 2024

Mchango Madaktari Bingwa Katika Kutoa Matibabu Bora

Madaktari bingwa wamekuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya katika sekta ya afya ulimwenguni kote. Kupitia jitihada zao za kujitolea na ujuzi wao, madaktari hawa wameleta nuru katika maisha ya mamilioni ya watu kwa kutoa matibabu bora na kusaidia kupunguza mateso
June 13, 2024

Deni la Serikali Linafikia Trilioni 91.7

Leo, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekutana jijini Dodoma kwa ajili ya kusoma Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25. Kikao hicho kinafanyika wakati ambapo ripoti ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, imeonyesha ongezeko kubwa
June 13, 2024

Stakeholders Eagerly Anticipate 2024/25 Budget Impact

Various stakeholders across the country have continued to share their opinions and suggestions regarding the Government’s 2024/25 budget, which was presented by the Minister of Finance, Dr. Mwigulu Lameck Nchemba. This budget aims to strengthen crucial sectors such as education, health, infrastructure,
June 13, 2024

 Onyo Kali Dhidi Ya Matumizi Holela ya Dawa

Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu, ametoa wito kwa Watanzania kuepuka matumizi holela ya dawa na kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ili kukabiliana na changamoto ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA). Waziri Ummy alitoa tahadhari hiyo Juni
June 13, 2024
1 241 242 243 244 245 330