Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Breaking News - Page 3

Assange Returns To Australia After Plea Deal

Julian Assange, the controversial founder of WikiLeaks, is returning to Australia after a prolonged 12-year legal struggle. This development comes as part of a plea agreement with U.S. authorities that marks a significant turn in a case that has drawn global attention
June 25, 2024

Priest Suspended Amid Child Murder Allegations

A priest from the Diocese of Bukoba has been suspended following allegations of his involvement in the murder of a child with albinism. The incident has sent shockwaves throughout the community and raised serious concerns about the safety and protection of vulnerable
June 21, 2024

Ndege ya Makamu wa Rais wa Malawi Yapatikana

Mabaki ya ndege iliyombeba makamu wa rais wa Malawi, Saulos Chilima, pamoja na abiria wengine tisa, yamepatikana bila mtu yeyote aliyenusurika, Rais Lazarus Chakwera ametangaza. Ndege hiyo ilipotea kwenye rada za uwanja wa ndege Jumatatu asubuhi, ikiwa safarini ndani ya nchi. Wanajeshi
June 11, 2024

Mmoja afariki, watatu wajeruhiwa ajali ya gari Njombe

Dereva wa gari la mizigo Adriano Samweli (40) mwenyeji wa Kigoma, amefariki dunia katika ajali iliyotokea Kijiji cha Igumbilo, Kata ya Lupila wilayani Makete mkoani Njombe baada ya kushindwa kulimudu gari hilo na kisha kutumbukia korongoni. Ajali hiyo imetokea usiku kuamkia jana
June 9, 2024

Mkurugenzi wa RSF Afariki Dunia

Christophe Deloire, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Wanahabari wasio na mipaka (RSF), amefariki jana akiwa na umri wa miaka 53. Deloire amefariki kutokana na saratani mbaya, RSF ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotumwa kwa AFP ambapo alikuwa ameshikilia wadhifa wake
June 9, 2024
1 2 3 4 5 9