Dark
Light

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Januari 30, 2024.
January 30, 2024
by

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Januari 30, 2024. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo Dkt. Alphonce Chandika na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Author

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Mining Firm Highlights Commitment To Safer Tailings Systems

A leading gold producer operating in Tanzania has underscored its

Tanzanian Diaspora in Belgium Praises Samia’s Leadership

Tanzanians living in Belgium and Luxembourg have publicly applauded President