Dark
Light

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Januari 30, 2024.
January 30, 2024
by

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Januari 30, 2024. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo Dkt. Alphonce Chandika na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Author

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Teknolojia Yahimizwa Mkutano Wa 10 Wa Wakaguzi Afrika

Wakaguzi wa Ndani barani Afrika wametakiwa kubadilishana uzoefu na kutumia

Government Urges Media to Foster Peaceful 2025 Elections

As the country moves closer to the 2025 General Election,