Operesheni na ukamataji uliofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini ilifanikiwa kukamata dawa za kulevya za mashambani aina ya bangi na mirungi pamoja na dawa za viwandani aina ya heroin, cocaine, methamphetamine na dawa tiba zenye asili ya kulevya kama ilivyoainishwa
Katika mwaka 2023 kiasi cha tani 1,757.56 za dawa za kulevya aina ya bangi kilikamatwa kikihusisha watuhumiwa 8,803 kati yao wanaume 8,180 na wanawake 623. Aidha, katika kipindi hiki kumeibuka uingizaji na matumizi ya bangi mpya inayoitwa “skanka” ambayo inadhaniwa kuwa inazalishwa nchi za kusini mwa Afrika. Skanka ni mchanganyiko wa aina mbili za bangi, Cannabis sativa na Cannabis indica, ikiwa na kiasi kikubwa cha THC hivyo kuwa na athari kubwa zaidi kwa watumiaji.
View this post on Instagram
Mirungi ni dawa ya kulevya ya mashambani ambayo pia imeendelea kuwa tatizo kwa mwaka 2023. Mwaka 2023, jumla ya tani 202.74 za dawa hii zilikamatwa zikihusisha watuhumiwa 1,179 kati yao wanaume 996 na wanawake 183.
Soma: Afungwa Miaka 60 Jela:kosa Ukatili Wa Watoto
Kiasi cha bangi tani 1,757.56 kilichokamatwa mwaka 2023 ni zaidi ya mara tano ya kiasi kilichokamatwa kwa miaka tisa iliyopita kuanzia mwaka 2014 hadi 2022 ambacho kilikuwa tani 326.09. Aidha, kiasi cha mirungi tani 202.74 kilichokamatwa kwa mwaka mmoja wa 2023, kinazidi kiasi cha mirungi kilichokamatwa kwa miaka tisa iliyopita (kuanzia mwaka 2014 hadi 2022) ambacho kilikuwa tani 177.78. Mafanikio haya yametokana na juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ikiwemo uwezeshaji, utashi wa kisiasa na ushiriki wa wananchi katika kutoa taarifa.
I am truly thankful to the owner of this website who has shared this impressive article at at this place.
We stumbled over here from a different website and thought I might as well check things out.
I like what I see so now i am following you. Look forward
to looking at your web page repeatedly.
It is perfect time to make a few plans for the longer term and it’s time to be happy. I have read this put up and if I may just I desire to counsel you few attention-grabbing things or advice. Perhaps you can write subsequent articles referring to this article. I desire to read even more issues about it!
I am not sure where you are getting your information, but great topic.
I needs to spend some time learning much more or understanding more.
Thanks for excellent info I was looking for this information for my
mission.
You need to be a part of a contest for one of the most useful blogs on the internet.
I am going to recommend this blog!
I blog often and I really appreciate your information. The
article has really peaked my interest. I am going to bookmark your site
and keep checking for new details about once a week.
I opted in for your Feed too.
What’s up, this weekend is nice in support of me, for the reason that
this moment i am reading this wonderful educational piece of writing here at my house.
You completed some fine points there. I did a search on the subject matter and found nearly all folks will consent with your blog.
Excellent web site you’ve got here.. It’s hard
to find excellent writing like yours these days. I truly appreciate individuals like
you! Take care!!