Dark
Light

Waziri Mkuu

Majaliwa Calls for Governance Standards at APS-HRMnet Summit

Prime Minister Kassim Majaliwa has urged African public sector human resource managers to emphasize integrity and professionalism in managing human resources across the continent’s public sectors. Speaking at the opening ceremony of the 9th annual Africa Public Sector Human Resource Managers’ Network
November 5, 2024

Majaliwa Akutana na Wafanyabiashara Kuhusu Kodi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, katika jitihada za kutatua changamoto za kodi zinazowakabili wafanyabiashara. Kikao hicho kimefanyika siku ya tatu tangu wafanyabiashara hao walipofunga maduka yao, wakilalamikia mzigo mkubwa wa
June 26, 2024

Waziri Mkuu Aagiza Ulinzi Maalum kwa Albino

Katika hatua muhimu ya kulinda watu wenye ualbino, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa mikoa na wilaya kuanzisha operesheni maalum za usalama katika maeneo yao. Akizungumza Bungeni  Majaliwa alisisitiza umuhimu wa serikali za mitaa katika kuhakikisha usalama wa watu hawa dhidi
June 20, 2024

Waziri Mkuu Akagua Athari Za Maafa Rufiji

Wazri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi waliokumbwa na adha ya mafuriko nchini waendelee kuwa watulivu wakati Serikali ikiendelea kuratibu utoaji wa misaada kwenye maeneo yaliyoathirika. “Barabara ya Mkongo hadi Utete na ile ya kutoka Mloka Mkongo zote zimeathirika. Tunafanya kazi ya kurejesha
April 17, 2024