Dark
Light

Tanzania

Latest

Wivu Kupindukia ,Sababu Ugonjwa Wa Akili

April 15, 2024
Daktari Wa Magonjwa ya Akili Kutoka Hospitali Ya Rufaa,Mkoa Mwananyamala, Dkt Jovina Josephat amesema moja ya viashiria vya Mtu Kusumbuliwa na Ugonjwa Wa Akili ni Wivu Ulio Pitiliza Ambao Umekuwa Changamoto Kubwa Hasa Kwa Watu Waliopo Kwenye Mahusiano au Wanandoa. Dkt. Jovina

Rais Samia Atoa Fedha Za Dharura Wizara Ya Ujenzi

April 15, 2024
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipatia Wizara ya Ujenzi fedha za dharura ili kusaidia kufanya ukarabati kwenye maeneo ambayo mawasiliano ya barabara yamekatika kutokana na mvua za

CCM Lobbies For Release of 400m For Water Project

April 15, 2024
The ruling party-Chama Cha Mapinduzi (CCM)’s Secretary General, Ambassador Emmanuel Nchimbi working tour in Nkasi District has fast tracked the release of 400m/- that was derailing the completion of a grand water project seeking to end water woes in the area. At

Government Allocates 400m- To Nachingwea Wildlife Victims

April 15, 2024
 Ministry of Natural Resources and Tourism provided over 399m/- last year to console 1,658 citizens affected by destructive wildlife in Nachingwea District, Lindi Region. Nachingwea District Commissioner, Mohamed Hassan Moyo, shared details in a recent press meeting about Tanzania Wildlife Management Authority

DK.Mwinyi Asisitiza Kudumisha Muungano

April 14, 2024
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni wajibu kuulinda Muungano, kuuendeleza, kuudumisha na kuimarisha zaidi ili kuzidi kunufaika kwa dhamira ile ile ya Waasisi wa Taifa letu. Rais Dk.Mwinyi ameeleza kuwa umoja wa Watanzania unazidi
1 577 578 579 580 581 695