Dark
Light

Dkt. Biteko Ashuhudia Utiaji Saini Mikataba Uendeshaji Mradi Wa EACOP

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, Leo 26 Machi, 2024, ameshuhudia Utiaji saini mikataba mitatu ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).
March 26, 2024
by

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, Leo 26 Machi, 2024, ameshuhudia Utiaji saini mikataba mitatu ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).

Mkataba wa Kwanza unahusisha ukodishaji wa eneo la kujenga Miundombinu ya kuhifadhi mafuta (Land Lease Agreement for Marine storage and Terminal Area) Kati ya TPDC na EACOP.

Mradi wa pili ni wa kutumia eneo la Maji (Marine user Rights) kati ya EACOP na Mamlaka ya Bandari Tanga na mkataba wa tatu ni wa kufanya shughuli za Bandari (Marine Facility Agreement) Kati ya TPA na EACOP.

Utiaji saini mkataba huo pia umeshuhudiwa na Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda Mhe Dkt. Ruth Nankabirwa.

Author

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

U.S. Prepares Tougher Sanctions on Russia

The United States has signaled plans to escalate economic pressure

Putin Defends Iran Nuclear Rights, Warns Ukraine Again

Russian President Vladimir Putin has strongly defended Iran’s right to