Dark
Light

Tanzania - Page 322

Yanga SC Yatuma Malalamiko CAF Kudhulumiwa Goli

Klabu ya Yanga SC imeandika barua ya malalamiko kwa CAF kufuatia kukataliwa kwa goli la Azizi Ki dakika ya 57 dhidi ya Mamelodi Sundowns katika michuano ya CAF Champions League hatua ya robo fainali, Refa wa mchezo huo Raia wa Mauritania, Dehane
April 6, 2024

Ofisi Ya Waziri Mkuu Yakanusha Taarifa ya Mikopo ya Mo Dewji

Ofisi ya Waziri Mkuu imekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kupitia ukurasa wa Facebook uitwao “Mo Dewji Mikopo.” Taarifa hiyo, iliyosambazwa na ukurasa huo, ilidai kuwa Mheshimiwa Waziri Mkuu alitoa kauli inayounga mkono taasisi hiyo. Katika taarifa iliyotolewa na Ofisi ya
April 6, 2024

Tanzania, UK Strengthen Collaboration

The government of the United Kingdom has announced new plans and strategies for cooperation with the government of Tanzania to strengthen collaboration in the sectors of Health, Investment, and Trade, and to support environmental projects and climate change initiatives. These plans were
April 6, 2024

Makalla Awahakikishia CCM Upele Umepata Mkunaji

Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Ndugu. Amos Makalla amewataka Wanachama wa CCM waamini wanae Mwenezi na wasiwe na wasiwasi huku akisema yupo tayari kwa mdahalalo wowote kujibu hoja na kushindana kwa hoja na sio vihoja na
April 5, 2024

“Muziki Umeanza Hii Safu Ni Ujumbe Tosha”-Mongella

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, John Mongella amewataka Wanachama wa CCM wamuamini huku akiwaahidi kuwa atasimamia kuhakikisha utendaji ndani ya Chama hicho na kuipongeza safu ya uongozi iliyoteuliwa hivi karibuni na sekretarieti. Mongella ameyasema hayo leo Aprili 5, 2024 Jijini Dar
April 5, 2024

Denmark Kuwekeza Mitaji Na Teknolojia Sekta Binafsi Tanzania

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameihakikishia Denmark kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na nchi hiyo kupitia Mkakati wake mpya wa ushirikiano wa kimataifa kwa kuishirikisha sekta binafsi katika mipango yake ya maendeleo ili kukuza uchumi na ajira. Dkt.
April 5, 2024

“Every Home to Receive Natural Gas Distribution”-Kapinga

Deputy Minister of Energy Judith Kapinga said, The government, through the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC), continues with the implementation of various natural gas distribution projects in the Dar es Salaam region. “So far, the government has distributed natural gas via pipelines
April 5, 2024
1 320 321 322 323 324 372