Dark
Light

Tanzania - Page 271

Frateri Aliyejinyonga Azikwa Kimya Kimya

Ni siku chache zimepita baada ya  kuenea kwa taarifa ya kujinyonga kwa Frateri Rogassuan Massawe aliyedaiwa kujinyonga baada ya kufeli mtihani wa kumvusha daraja moja kwenda jingine katika masomo ya u padre , mwili wake umeweza kupumzishwa huku mamia ya watu wakijitokeza
May 26, 2024

TACAIDS Yaanika Sababu Ya VVVU kuongezeka

Siku tatu baada ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kutoa ripoti ya hali ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) na magonjwa ya zinaa, Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) imeizungumzia ripoti hiyo, ikitaja ugumu inaokabiliana nao katika kuzuia maambukizi mapya
May 26, 2024

Dereva Shabiby Atuhumiwa Kusababisha Ajali majeruhi 22

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva wa basi la kampuni ya Shabiby, Sadick Marugul, akituhumiwa kusababisha ajali iliyojeruhi watu 22 mapema leo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP. Alex Mkama, amesema ajali hiyo imetokea katika eneo la Kihonda kwa
May 25, 2024

Nchi Wanachama Kukuza Amani Na Usalama Afrika

Katika maadhimisho ya kuadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewaomba nchi wanachama kujitolea zaidi katika jitihada za kuleta na kudumisha amani
May 25, 2024

Tanzania Yazidi Kutekeleza Agenda Uchumi Wa Viwanda

Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imejitolea kikamilifu kutekeleza agenda ya uchumi wa viwanda nchini Tanzania. Hii ni hatua muhimu katika juhudi za kupiga hatua katika maendeleo ya uchumi wa nchi. Moja ya vipaumbele
May 25, 2024

Community Led Projects Propel Musoma’s Transformation

Residents of Musoma Rural Constituency have banded together to expedite the implementation of crucial development projects within their communities. Through a collaborative effort between the community, local leadership, and the office of the Member of Parliament, Professor Sospeter Muhongo, significant progress has
May 25, 2024
1 269 270 271 272 273 346