Dark
Light

Tanzania - Page 261

Twelve Miners Die in DRC Copper Mine Collapse

Twelve miners tragically lost their lives after a copper mine collapsed in Tulizembe, located in the mineral-rich Katanga Province of the Democratic Republic of Congo. The incident occurred early Saturday morning, trapping workers deep inside the mine and prompting a rapid but
February 10, 2026

Utafiti: Watoto Uswazi Hali Mbaya Kielimu

Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na shirika la HakiElimu umebaini kuwa wanafunzi wanaoishi katika makazi duni mijini, maarufu kama ‘uswazi’, wanakabiliwa na changamoto kubwa zaidi kielimu ikilinganishwa na wenzao wa vijijini. Matokeo haya yameonyeshwa katika Ripoti ya Utafiti kuhusu hali ya upatikanaji
June 5, 2024

Pombe Kuwekwa Kwenye Haja Kubwa Kenya

Hali ya maisha na mifumo yake imezidi kustaajabisha watu hususani Nchini kenya baada ya vijana wanaokunywa Pombe Nchini humowakibuni njia mpya ya kuusisimua mwili  Inaelezwa kuwa wimbi kubwa la vijana hao wakiwa na nia ya kutafuta kupata hisia za juu haraka na
June 5, 2024

Tsh Trilioni 44.19 Zaombwa Na Wizara Ya Fedha

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuiidhinishia wizara yake makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha Shilingi trilioni 44.19, kati ya makadirio ya Shilingi trilioni 49.35 za Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka
June 4, 2024

Government Vows Support, Teachers’ Concerns Addressed

The government has assured all teachers in Sengerema District that it will continue to address various challenges they face to ensure they work in conducive environments. This assurance was given by the Director of Education from the President’s Office – Regional Administration
June 4, 2024

Government Urges Environmental Units to Act

Deputy Prime Minister and Minister of Energy, Hon. Dr. Doto Biteko, has called on Environmental Departments and Units within government ministries and institutions to continue diligently fulfilling their fundamental duties aimed at mitigating environmental impacts in the country. Dr. Biteko made this
June 4, 2024

Mkutano wa Baraza La Mawaziri EAC Waanza Leo

Mkutano 33 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri linaloshughulikia masuala ya Afrika Mashariki na Mipango umeanza leo tarehe 3 Juni 2024 jijini Arusha. Mkutano huo wa siku tano kuanzia Juni 3-7, 2024 umeanza kwa Ngazi ya Wataalam na baadaye utafuatiwa na Ngazi
June 3, 2024

Bodi Ya Maziwa Yapewa Maagizo Na Serikali

Serikali imeiagiza Bodi ya Maziwa Nchini kujadili kwa haraka na kutatua tatizo la vifungashio vya maziwa vinavyofanya bei ya maziwa kuwa juu na kufanya wananchi kushindwa kumudu bei hivyo kuongeza hali ya udumavu kwa watoto nchini. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri
June 3, 2024

Premier Graces Chato Landing Site Construction

Prime Minister Kassim Majaliwa has laid the foundation stone for a landing site and fish market construction in Chato district, Geita region. The projects aim to enhance the local economy, with a focus on involving fishermen and farmers in development plans. During
June 3, 2024
1 259 260 261 262 263 342