Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Cadena Atimua Mbio Simba

“Najua haikuwa rahisi kukufanyia uamuzi huu, lakini sasa ni wakati wa kuunganisha nguvu na kuisafisha Simba kwa pamoja kwa manufaa ya siku zijazo za Simba".
June 12, 2024
by

Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Daniel Cadena ametoa shukrani kwa uongozi wa Simba ikiwa ndio mkono wa kwaheri ndani ya klabu hiyo, Cadena ameyasema haya kupitia ukurasa wake wa instagram.

“Asanteni nimeifahamu SIMBA na nimehisi mapenzi yangu kwa klabu hii kubwa Siwezi kusema chochote kibaya juu ya klabu hii, imenisaidia kila wakati hata katika nyakati mbaya”

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Daniel Cadena Ledesma (@danicadena13)


“Najua haikuwa rahisi kukufanyia uamuzi huu, lakini sasa ni wakati wa kuunganisha nguvu na kuisafisha Simba kwa pamoja kwa manufaa ya siku zijazo za Simba”.

Kila la kheri kwa familia ya Simba, – Cadena

Soma: Simba Kamiligado, Yaenda Kujifua Zanzibar

Sambamba na hilo Daniel Cadena amempongeza Mohamed Dewji (MO) Kwa ujasiri wake wa kutoa maamuzi magumu ya kuijenga timu ya Simba.

Mimi na wewe @moodewji tumezungumza mara moja tu, na umenionyesha kuwa mnyenyekevu na wakati huo huo jasiri kufanya maamuzi katika nyakati ngumu. 👌

Kwa miradi imara na misingi imara inakupasa kufanya maamuzi magumu bila kutumia moyo wako. 💪

Kwa wafanyikazi wote:
“Ikiwa unastahili, uko Simba, ikiwa haufai, uko mitaani.”

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Daniel Cadena Ledesma (@danicadena13)

Ninakuamini na njia yako ya kusimamia. Nakutakia kila la kheri kwako na kwa Simba ambayo nayo ni bora kwa familia ya SIMBA. Cadena

Author

68 Comments

  1. Kalau ada link yang nawarin hadiah atau sesuatu yang kedengerannya terlalu
    bagus, hati-hati! Bisa aja itu cuma modus buat dapatin data kita.

    Cek bener-bener sebelum klik!.

  2. Kalau link yang kamu dapat nggak jelas atau nggak dikenal, abaikan aja deh.
    Sekarang banyak banget scam yang memanfaatkan link kayak gitu.
    Lebih baik aman daripada kena tipu!.

  3. Saya sudah cek di berbagai forum, dan banyak yang mengatakan bahwa situs ini
    tidak bisa dipercaya. Mereka memanfaatkan ketidaktahuan orang untuk menipu.
    Kalau kalian tidak ingin kehilangan uang, lebih baik hindari situs ini
    dan cari platform yang lebih aman!

  4. I truly love your blog.. Excellent colors & theme. Did you make this website yourself?
    Please reply back as I’m wanting to create my very own site and want to learn where you got this from or exactly what the theme is named.

    Appreciate it!

  5. Sweet blog! I found it while searching on Yahoo
    News. Do you have any tips on how to get listed in Yahoo News?

    I’ve been trying for a while but I never seem to get there!

    Appreciate it

  6. I think this is one of the most important info for me.
    And i am glad reading your article. But wanna
    remark on few general things, The web site style is ideal, the
    articles is really excellent : D. Good job, cheers

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Jacob and Malisa Deny Being Arrested by Police

Former Ubungo Municipal Mayor Boniface Jacob (42) and his co-accused

Diaby Announces Retirement Amid Increasing Threats

Germany’s first African-born MP, has announced he will not stand