Dark
Light

editor

Kesi Ya Jenerali Bunyoni Kusikilizwa Leo

Kesi inayomuhusu Waziri Mkuu wa zamani wa Burundi Jenerali Alain Guillaume Bunyoni inatarajiwa kusikilizwa leo baada ya kukata rufaa katika Mahakama ya rufaa. Mahakama ya juu ya Burundi ilimuhukumu Waziri Mkuu wa zamani Alain-Guillaume Bunyoni kifungo cha maisha jela baada ya kumpata
May 27, 2024

Kuimarisha Afya Kupitia Mtindo Bora Wa Maisha

Katika hatua ya kukabiliana na magonjwa Yasiyoambukiza, Serikali ya Tanzania imeanza kutekeleza mikakati mbalimbali ikiwemo kampeni ya kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuzingatia mtindo bora wa maisha. Akizungumza hivi karibuni wakati wa matembezi yaliyoandaliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) yanayojulikana kama
May 27, 2024

Mke Amuua Mume Kisa Wivu Wa Mapenzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Beatrice Elias (36), mkazi wa Mtaa wa Katanini Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua mumewe, Ephagro Msele (43) kwa madai ya kumkuta kwa mzazi mwenzake. Kwa mujibu wa watu wa karibu na Msele, Mei
May 26, 2024

Burkina Faso Yaongeza Muda Wa Utawala Wa Kijeshi

Serikali ya mpito ya Burkina Faso imeongezwa muda kwa miaka mitano kufuatia kupitishwa kwa katiba iliyofanyiwa marekebisho katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano. Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Kapteni Ibrahim Traoré alitia saini mkataba huo uliorekebishwa mjini Ouagadougou siku ya Jumamosi, na
May 26, 2024

Devastating Landslides Bury 670 in Papua New Guinea Tragedy

About 670 people are estimated to be buried under large landslides in Papua New Guinea, a United Nations official says. The head of the International Organization for Migration in Papua New Guinea, Serhan Aktoprak, said the impact of Friday’s landslides in the
May 26, 2024

Who Is Leading The Coastal Union, Azam Or Simba?

Yesterday was a day of joy and tears for some teams participating in the Tanzanian Premier League. The happiness was evident among the Coastal Union players from Tanga city. This comes after the team secured their participation in the Confederation Cup in
May 26, 2024

Frateri Aliyejinyonga Azikwa Kimya Kimya

Ni siku chache zimepita baada ya  kuenea kwa taarifa ya kujinyonga kwa Frateri Rogassuan Massawe aliyedaiwa kujinyonga baada ya kufeli mtihani wa kumvusha daraja moja kwenda jingine katika masomo ya u padre , mwili wake umeweza kupumzishwa huku mamia ya watu wakijitokeza
May 26, 2024

TACAIDS Yaanika Sababu Ya VVVU kuongezeka

Siku tatu baada ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kutoa ripoti ya hali ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) na magonjwa ya zinaa, Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) imeizungumzia ripoti hiyo, ikitaja ugumu inaokabiliana nao katika kuzuia maambukizi mapya
May 26, 2024
1 141 142 143 144 145 234