Dark
Light

A revenge war – Simba SC Vs Jwaneng Galaxy

Meneja wa habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally ametangaza kaulimbiu Yao Vita ya Kisasi kuelekea mchezo wao wa marudio dhidi ya Jwaneng Galaxy Machi 2
February 26, 2024
by

Meneja wa habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally ametangaza kaulimbiu Yao Vita ya Kisasi kuelekea mchezo wao wa marudio dhidi ya Jwaneng Galaxy Machi 2

Ahmed amesema mchezo huo utakuwa wa kisasi dhidi ya mpinzani wao ili kuondoka na alama 3 za kuduzu hatua ya robo fainali.

“Tumezoea kwenda robo fainali, kwahiyo ni lazima tutinge robo fainali. Na hili inapaswa kufanyika kwa pamoja.” Amesema Ahmed.

Simba wapo kundi B la CAFCL, wakiwa nafasi ya pili kwa alama 6 wakifungana na Wydad AC walio nafasi ya tatu. Galaxy wanaburuza mkia wakiwa na alama 4 huku Asec Mimosa vinara wa kundi wakiwa na alama 11 huku wakiwa tayari wameshafuzu hatua ya robo fainali.

“Mechi dhidi ya Jwaneng Galaxy itachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku. Licha ya mapendekezo yetu kucheza mechi saa 10:00 jioni lakini CAF wameamua iwe saa 1:00 usiku ili michezo yote iwe muda mmoja”.amesema Ahmed Ally.

Author

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

100 Illegal Miners Die in South African Goldmine

One hundred illegal miners have reportedly died after being trapped

Tanzania Embraces Economic Diplomacy To Boost Growth

Government has unveiled a comprehensive National Strategy for the Implementation