Dark
Light

Tanzania

Latest

Rais Samia Kuongoza Mazishi ya Lowassa February. 17

February 12, 2024
  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa yanayotarajiwa kufanyika Wilayani Monduli Mkoani Arusha Jumamosi Februari17, 2024. Awali Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza siku tano za

Waziri Mkuu Aagiza uvunwaji maji ya Mvua

February 12, 2024
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maji iongeze kasi katika uwekezaji kwenye ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua pamoja na kujengeni mabwawa ya kukinga maji ili yatumike wakati wa kiangazi, kwenye ukame na kuzuia mafuriko.  Pia, Mheshimiwa Majaliwa amewaagiza

Financial inclusion key to development: Governor

February 12, 2024
The Bank of Tanzania Governor, Mr Emmanuel Tutuba, has said financial inclusion is key to sustainable growth especially if the focus is on providing customer-centric products. To further increase financial inclusion penetration, the focus should be directed to services to existing customers

Rais Samia Akutana na Papa Francis Vatican Italia

February 12, 2024
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 12, 2024 amekutana na Papa Francis jijini Vatican na kufanya naye mazungumzo. Viongozi hao wamejadiliana masuala mbalimbali, ikiwemo mchango wa Kanisa Katoliki katika uboreshaji wa huduma mbalimbali za kijamii hususani elimu, afya na

Philip Mpango Inspire voters for civic elections

February 12, 2024
As the country prepares for local government election slated for this year, Vice-President Dr Philip Mpango has urged religious leaders to inspire and encourage citizens, especially the youth to fully partake in the exercise. Dr Mpango said that government will ensure a
1 578 579 580 581 582 635