Dark
Light

Tanzania

Latest

Pombe Kuwekwa Kwenye Haja Kubwa Kenya

June 5, 2024
Hali ya maisha na mifumo yake imezidi kustaajabisha watu hususani Nchini kenya baada ya vijana wanaokunywa Pombe Nchini humowakibuni njia mpya ya kuusisimua mwili  Inaelezwa kuwa wimbi kubwa la vijana hao wakiwa na nia ya kutafuta kupata hisia za juu haraka na

Tsh Trilioni 44.19 Zaombwa Na Wizara Ya Fedha

June 4, 2024
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuiidhinishia wizara yake makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha Shilingi trilioni 44.19, kati ya makadirio ya Shilingi trilioni 49.35 za Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka

Government Vows Support, Teachers’ Concerns Addressed

June 4, 2024
The government has assured all teachers in Sengerema District that it will continue to address various challenges they face to ensure they work in conducive environments. This assurance was given by the Director of Education from the President’s Office – Regional Administration

Mbappe “Ndoto Yangu Imetimia”

June 4, 2024
Mshambulizi wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe anasema ni “ndoto yangu kutimia” huku uhamisho wake wa kuelekea Real Madrid ukithibitishwa Jumatatu jioni. Mbappe, 25, atahamia Uwanja wa Bernabeu kwa mkataba wa miaka mitano mkataba wake wa Paris St-Germain utakapokamilika tarehe 30 Juni.
1 530 531 532 533 534 697