Dark
Light

Mwigulu apaka “bleach” Pacome Day

February 23, 2024
by

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka kwenye ukurasa wake wa instagram ikimuonesha amepaka “bleach” ikiwa ni sehemu ya hamasa kwa Wachezaji na wafuasi wa Yanga Sc kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CR Belouizdad utakaopigwa Jumamosi katika dimba la Benjamin Mkapa.

Mchezo huo umepewa jina la Pacome Day ambapo washabiki wa timu hiyo wameelezwa kuwa wanaweza kupaka rangi nywele zao za kichwani, ndevu ili kuendana na siku hiyo

Author

2 Comments

  1. Howdy, I belіeve y᧐ur site mаy bee having web browser compatibility ρroblems.
    Whenever I loo at yoսr web site in Safari, it looks fine һowever, іf oⲣening in Internet Explorer, іt’ѕ
    gօt some overlapping issues. I simply ԝanted to provide you ԝith a quick hrads
    uр! Besides that, wonderful website!

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Banyibanyi Secondary Students Receive Bicycles to Improve Education

Students at Banyibanyi Secondary School in Kongwa District, Dodoma, who

Chanjo Ya Saratani Mlango Wa Kizazi ni Salama-Matabibu

Wataalam wa afya nchini wamewatoa hofu wananchi usalama wa chanjo