Dark
Light

Tanzania - Page 287

President Samia Names New Leaders to Key Institutions

President Samia Suluhu Hassan has appointed new board chairpersons to several major national institutions in a leadership reshuffle aimed at reinforcing governance standards, regulatory oversight, and strategic sector performance. The latest appointments affect agencies responsible for national statistics, rail transport development, environmental
February 12, 2026

TAMISEMI Yaomba Bunge Kuidhinisha Shilingi Tril.10.125

Ofisi ya Rais – TAMISEMI,  imeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2024/25 yenye jumla ya shilingi trilioni 10.125 kwa taasisi zilizo chini yake, mikoa 26 ikijumuisha halmashauri 184. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti ya trilioni
April 16, 2024

Ripoti Ya CAG, Upigaji Bado Upo

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, imeonesha kuwa ununuzi na usimamizi wa mikataba katika mamlaka 35 za serikali za mitaa wa jumla ya Sh. bilioni 4.22 ulifanyika bila kuitisha nukuu za ushindanishi wa bei. Aidha, mamlaka 16 za serikali
April 16, 2024

Wivu Kupindukia ,Sababu Ugonjwa Wa Akili

Daktari Wa Magonjwa ya Akili Kutoka Hospitali Ya Rufaa,Mkoa Mwananyamala, Dkt Jovina Josephat amesema moja ya viashiria vya Mtu Kusumbuliwa na Ugonjwa Wa Akili ni Wivu Ulio Pitiliza Ambao Umekuwa Changamoto Kubwa Hasa Kwa Watu Waliopo Kwenye Mahusiano au Wanandoa. Dkt. Jovina
April 15, 2024

Rais Samia Atoa Fedha Za Dharura Wizara Ya Ujenzi

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipatia Wizara ya Ujenzi fedha za dharura ili kusaidia kufanya ukarabati kwenye maeneo ambayo mawasiliano ya barabara yamekatika kutokana na mvua za
April 15, 2024

CCM Lobbies For Release of 400m For Water Project

The ruling party-Chama Cha Mapinduzi (CCM)’s Secretary General, Ambassador Emmanuel Nchimbi working tour in Nkasi District has fast tracked the release of 400m/- that was derailing the completion of a grand water project seeking to end water woes in the area. At
April 15, 2024
1 285 286 287 288 289 342