Dark
Light

Mwigulu apaka “bleach” Pacome Day

February 23, 2024
by

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka kwenye ukurasa wake wa instagram ikimuonesha amepaka “bleach” ikiwa ni sehemu ya hamasa kwa Wachezaji na wafuasi wa Yanga Sc kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CR Belouizdad utakaopigwa Jumamosi katika dimba la Benjamin Mkapa.

Mchezo huo umepewa jina la Pacome Day ambapo washabiki wa timu hiyo wameelezwa kuwa wanaweza kupaka rangi nywele zao za kichwani, ndevu ili kuendana na siku hiyo

Author

2 Comments

  1. Howdy, I belіeve y᧐ur site mаy bee having web browser compatibility ρroblems.
    Whenever I loo at yoսr web site in Safari, it looks fine һowever, іf oⲣening in Internet Explorer, іt’ѕ
    gօt some overlapping issues. I simply ԝanted to provide you ԝith a quick hrads
    uр! Besides that, wonderful website!

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Putin Consoles Nation,Vows To Punish Perpetrators

Russian President Vladimir Putin has strongly condemned the bloody and

Shambulio La Diddy Kwa Casandra Ventura Lanaswa Kwenye Cctv

Kumekuwa na uthibitisho umepatikana wa tukio la ajabu lililotokea miaka