Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Zanzibar ina amani,umoja mshikamano na utulivu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar ina amani, umoja, mshikamano na utulivu pamoja na kuendelea shughuli za kimaendeleo na ibada.
February 3, 2024
by

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar ina amani, umoja, mshikamano na utulivu pamoja na kuendelea shughuli za kimaendeleo na ibada.

Rais Dk. Mwinyi amesema hayo akizungumza alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya sala ya Ijumaa na kufungua Ijitimai ya Kimataifa Tabligh Markaz Magome ya siku tatu Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba tarehe: 02 Februari 2024.

Aidha Rais Dk.Mwinyi amewataka waumini kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu kudumisha amani, upendo, umoja na mshikamano.

Halikadhalika Rais Dk.Mwinyi ametoa wito kwa waumini kuwafundisha watoto elimu ya dini ili wawe na hofu ya Mwenyezi Mungu kwa kujiepusha na matumizi ya madawa ya kulevya, wizi, ubadhirifu wa mali za umma na vitendo vya udhalilishaji .

Kwa upande mwingine Rais Dk.Mwinyi ameipongeza Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar kwa kuratibu vizuri shughuli za dini kwa utulivu, amani na mshikamano.

Author

6 Comments

  1. you bitch have big boobs made some good points there.
    I checked on the net for more information about the issue and porn video most individuals will go along with free video call sex your bitch views on this website.

  2. Whoa! This blog looks just like my old one!
    It’s on a completely different subject but it has pretty
    much the same page layout and design. Superb choice of colors!

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Iringa Woman Found Living with Pastor’s Body for Two Months

A chilling discovery in Iringa, Tanzania, has left residents in

Magufuli Bus Terminal Chaos as Middlemen Exploit Travelers

The festive season has turned Tanzania’s Magufuli Bus Terminal into