Kupitia ukarasa wakijamii wa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally ametoa maoni yake kuhusu suala la Serikali kulipia Baadhi ya Mashabiki wa Yanga kwenda Afrika kusini kutazama mechi ya marudiano kati ya Mamelodi na Yanga itakayochezwa ijumaa wiki hii.
Ahmed Ally amesema kuwa “Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri.Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000”
Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo. Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.
Ahmed ameongeza kuwa “Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu”
Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua
Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima??
Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??
Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu
Read>> http://Mamadou Gaye Awaonya Mamelodi Dhidi Ya Yanga
Read>>http://A revenge war – Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi
Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo
We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa” Ahmed Ally
Maneno hayo ya Ahmed Ally yamezua utata mtandaoni kutokana na mashabiki wa klabu ya Simba kutolipiwa na serikali kwenda kushangilia timu yao
Hello, i think that i saw you visited my website so i came to “return the favor”.I’m attempting
to find things to improve my site!I suppose its ok to use a few of your ideas!!
Hello, i think that i saw you visited my web site
thus i came to “return the favor”.I am trying to find things to enhance my website!I suppose its ok to use a few of your ideas!!
Right here is the perfect webpage for anybody who would like
to understand this topic. You realize so much its almost tough to argue with you (not that I
actually would want to…HaHa). You certainly put a new spin on a
subject that has been discussed for many years. Great stuff, just wonderful!
Hi, I do think this is a great website. I stumbledupon it 😉
I am going to revisit yet again since i have book marked it.
Money and freedom is the best way to change, may you be rich and continue to help
other people.
At this time I am going to do my breakfast, once having my breakfast coming yet again to
read further news.
Thanks for sharing. I read many of your blog posts, cool, your blog is very good.
After looking at a number of the blog posts on your
web site, I seriously like your way of writing a blog.
I book-marked it to my bookmark website list and will be checking back soon.
Take a look at my website too and let me know how you
feel.
It’s a pity you don’t have a donate button! I’d certainly donate to this superb
blog! I suppose for now i’ll settle for book-marking and adding your RSS feed to my Google account.
I look forward to fresh updates and will share this blog with my Facebook group.
Talk soon!
Thanks for sharing. I read many of your blog posts, cool, your blog is very good.
First off I want to say great blog! I had a quick question which I’d like to ask if you do not mind.
I was curious to know how you center yourself and clear your thoughts
before writing. I have had trouble clearing my thoughts in getting my
ideas out. I do enjoy writing however it just seems like the
first 10 to 15 minutes are wasted simply just trying to figure out how to begin. Any recommendations or tips?
Thank you!
I really like your blog.. very nice colors & theme.
Did you make this website yourself or did you hire someone to do it for you?
Plz reply as I’m looking to create my own blog and would like to know where u got this from.
thanks
This page truly has all of the information and facts
I needed about this subject and didn’t know who to ask.
There’s definately a great deal to learn about this issue. I really like all the points you’ve made.
An impressive share! I have just forwarded this onto a co-worker who was
doing a little homework on this. And he actually bought me
breakfast simply because I discovered it for him… lol.
So allow me to reword this…. Thanks for the
meal!! But yeah, thanks for spending some time to talk about this subject
here on your website.
It’s impressive that you are getting ideas from this article as well as from our discussion made
at this time.
Incredible all kinds of amazing knowledge!
Hi there, I enjoy reading all of your article post.
I like to write a little comment to support you.
Hello, Neat post. There’s an issue with your web site in web
explorer, may test this? IE nonetheless is the market chief and a large
portion of other folks will leave out your excellent writing because of this problem.
This is the perfect site for anyone who wants to understand this topic.
You understand a whole lot its almost hard to argue with you (not that I
really will need to…HaHa). You definitely put a new spin on a topic that has been discussed for years.
Great stuff, just excellent!