Dark
Light

Mbappe Na Madrid Mambo BulBul

June 3, 2024
by

Uhamisho wa mchezaji wa timu ya PSG ya Nchini Ufaransa Kuelekea Real Madrid ya nchini uhispania limekamilika na muda wowote kuanzia sasa mchezaji huyo nyota wa kutoka nchini ufaransa atatangazwa kama mchezaji mpya wa miamba hiyo kutoka uhispania.

Tetesi zinaeleza yakuwa mchezaji huyo aliyedumu PSG kwa takribani miaka sita sasa alianza mazungumzo na Madrid tangu mwezi wa pili na sasa deal limekamilika huku ikitegemewa mchezaji huyo kutangazwa muda wowote kuanzia sasa hasa baada ya mabingwa hao kutwaa kombe la mabingwa ulaya usiku wa kuamkia leo dhidi ya timu ya Dortmund kutoka huko Ujerumani.

Soma Zaidi:Mbappe Aghadhabishwa na Swali

Endapo Mbappe atatangazwa rasmi kama mchezaji mpya wa madrid rasmi atakuwa ameingia rasmi kwenye “show za ligi ya mabingwa ulaya” huku timu ya madrid ikimbeba na rekodi nzuri kwenye michuano hiyo kama kutopoteza fainali za kombe hilo kwa takribani miaka 40.

Mbappe anaiacha PSG kama mchezaji huru huku akiwa na kiwango bora tangu kujiunga na wababe hao licha ya kuwekwa kwenye minzani na wakongwe wa mpira duniani katika timu hiyo kama Neymer Jr pamoja na Lionel Messi

 

11 Comments

  1. Thаnks for any otһer informative web site. The place else may I get that kind of info ѡritten in such an ideal waү?
    I’ve a challenge that I am ѕimply now running оn, and I’ve been at ttһe glane
    out for such info.

  2. Attractivе component to content. I just stumbled
    upon yⲟur website and inn accession capital to say
    that I acգuire in fɑct loved account yur blog
    posts. Any way I’ll be subѕcгiobing on your feewds or even I succesѕ you get admissіon to constantly qᥙіcкⅼy.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Iringa MP Pushes for Marriage Law Reform

The Member of Parliament for Iringa Urban, Jesca Msambatavangu made

Global Partnership Delivers Historic Livestock Vaccines

An international collaborative effort has delivered a staggering 3.9 million