Dark
Light

Marekani Na Tanzania Zaungana Kupmbana Na Usugu Wa Vimelea Vya Magonjwa Dhidi Ya Dawa – UVIDA

May 26, 2024
by

Serikali ya Marekani kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) na serikali ya Tanzania, leo zimeungana kuzindua kampeni ya “Holela- Holela Itakukosti” ambayo inaratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Kampeni hii inazingatia udhibiti kuhusu usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA) na magonjwa ya kipaumbele ya zuonotiki (magonjwa ambayo yanaweza kuambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa wanadamu).

Kampeni hii inaonyesha umuhimu wa kuchukua hatua za kuzuia na kudhibiti usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA) na magonjwa ya kipaumbele ya zuonotiki kuanzia katika ngazi za chini kwenye jamii kwa kutoa elimu na hatua za kuzuia maambukizi.

Soma Zaidi:Children With Epilepsy Excluded From National Health Insurance

Baadhi ya tabia hatarishi na uelewa mdogo wa kiafya na kisayansi miongoni mwa jamii nchini Tanzania unaifanya nchi kuwa katika hatari ya milipuko wa magonjwa ya kuambukiza. Kampeni hii itaziba mianya ya maarifa na kutoa mifano ya kile ambacho jamii inaweza kufanya ili kupunguza kuenea kwa magonjwa au kuugua.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo; Naibu Waziri ya Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema kwa kuongeza uelewa na kuchochea mabadiliko ya tabia, Tanzania inaweza kupunguza athari zinazotokana na udhibiti kuhusu usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA) na magonjwa ya kipaumbele ya zuonotiki (magonjwa ambayo yanaweza kuambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa wanadamu).

“Magonjwa yanayosababishwa na wanyama huambukizwa kati ya wanyama na wanadamu na ni hatari kwa kuwa yanaweza kusababisha milipuko na magonjwa ya kuambukiza. Ni muhimu kuzingatia, kutambua, kudhibiti, na hatimaye kuondoa magonjwa haya ili kuhakikisha jamii na wanyama wanabaki wenye afya na kuepuka matatizo ya kiuchumi na kijamii. Kampeni ya ‘Holela-Holela Itakukosti’ ni mfano mmoja wa jinsi USAID inavyofanya kazi katika jamii kuboresha na kudumisha afya na ustawi wa wote.” Amesema Dkt. Mollel.

12 Comments

  1. I have been exploring for a little bit for any high-quality articles or blog posts on this sort of area . Exploring in Yahoo I finally stumbled upon this web site. Studying this info So i?¦m happy to show that I’ve an incredibly excellent uncanny feeling I came upon exactly what I needed. I so much no doubt will make sure to do not omit this website and provides it a look regularly.

  2. I will right away snatch your rss feed as I can not in finding your e-mail subscription hyperlink or newsletter service. Do you’ve any? Kindly permit me understand so that I could subscribe. Thanks.

  3. Hi there, just became aware of your blog through Google, and found that it’s really informative. I am going to watch out for brussels. I’ll be grateful if you continue this in future. A lot of people will be benefited from your writing. Cheers!

  4. What i don’t understood is in fact how you’re now not really a lot more neatly-favored than you might be now. You are very intelligent. You already know therefore significantly in terms of this topic, made me personally believe it from a lot of various angles. Its like women and men don’t seem to be interested unless it is something to do with Girl gaga! Your personal stuffs outstanding. All the time deal with it up!

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

SADC Condemns Attempted Coup in DR Congo

The Southern African Development Community (SADC) has issued a strong

Tanzania, South Africa Unite to Boost Science Innovation

The Tanzanian Minister of Education, Science, and Technology, Prof. Adolf