Dark
Light

Health - Page 71

Tanzania’s Health Vision: Stronger Future Assured

Ministry of Health Secretary Dr . John  Jingu at a seminar held in  Dodoma City. reaffirmed the critical role of his ministry in shaping Tanzania ‘healthcare landscape for the upcoming fiscal year 2024/25 The seminar, attended by senior ministry officials, focused on
June 25, 2024

Polisi Waomba Ushirikiano Kuwalinda Watu Wenye Ualbino

Katika juhudi za kuimarisha usalama na kulinda haki za binadamu, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Fabian Mhagale amewataka wananchi wa Kata ya Mvungwe, Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Mhagale alisisitiza umuhimu
June 25, 2024

DC Pangani Aongoza Vita Dhidi Ukatili

Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala, ameanza kampeni kali dhidi ya vitendo vya ubakaji na ulawiti, akisisitiza kuwa watu wanaojihusisha na makosa haya watachukuliwa hatua kali za kisheria. Kilakala ameagiza Jeshi la Polisi kumkamata mtu mmoja katika kijiji cha Bushiri, anayeshtumiwa
June 25, 2024

Serikali Yatoa Wito kuhusu Lishe kwa Mama Wajawazito

Serikali imezitaka taasisi za lishe kushirikiana na sekta ya afya katika kutoa elimu kuhusu lishe kwa mama wajawazito, hatua ambayo inalenga kupunguza vifo vya mama na mtoto nchini. Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, alitoa wito huo leo bungeni Dodoma alipokuwa
June 24, 2024

Tanzania Surpasses Maternal and Child Mortality Goals

The Tanzanian government has announced remarkable achievements in its efforts to reduce maternal and child mortality rates. Deputy Minister of Health, Dr. Godwin Mollel, informed Parliament in Dodoma that the mortality rate has decreased from 556 per 100,000 live births in 2016
June 24, 2024

Tanzania Makes Strides in National ID Distribution

The government has made substantial progress in the production and distribution of national identity cards (IDs). As of May 2024, the National Identification Authority (NIDA) had issued 21,322,098 IDs, covering 86% of the 24,818,138 registered citizens. This advancement is part of a
June 24, 2024

Watumishi wa Afya Longido Kupatiwa Nyumba

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel, ameziagiza Timu za Afya za mkoa na wilaya kutoa kipaumbele katika kuwapatia makazi watumishi wa sekta ya afya wa Wilaya ya Longido. Dkt. Mollel amezitaka timu za uendeshaji wa huduma za afya (CHMT) wilayani Longido
June 23, 2024

100 Patients Regain Sight in Chunya

Over 100 patients have regained their vision following successful cataract surgeries during a seven-day specialist eye surgery camp at the Chunya District Referral Hospital in Mbeya. This initiative, held from June 14-21, 2024, was supported by the government through the Ministry of
June 22, 2024

Dodoma Hospital Innovates with Placenta Gas Production

Dodoma Regional Referral Hospital has initiated a program to generate gas from the placentas of new mothers. This groundbreaking initiative received significant commendation from the Deputy Minister of Health, Dr. Godwin Mollel, during the Public Service Week celebrations held on June 20,
June 21, 2024
1 69 70 71 72 73 88