Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Politics - Page 218

ICC Convicts Former Militia Chief for Darfur Atrocities

The International Criminal Court (ICC) has found former Janjaweed commander Ali Muhammad Ali Abd-Al-Rahman, widely known as Ali Kushayb, guilty of 27 counts of war crimes and crimes against humanity for his role in the brutal conflict that ravaged Sudan’s Darfur region
October 8, 2025

Samia Aidhinisha Ajira Mpya 46,000

WABUNGE wameitaka serikali kuja na mpango mkakati wa kutoa ajira za kutosha katika kada za elimu na afya ili kukabiliana na uhaba wa watumishi nchini hali itakayoendana na utekelezaji wa miundombinu uliofanyika hivi karibuni. Wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi
April 18, 2024

“Serikali Kuanzisha Benki Ya Ushirika”-Majaliwa

Waziri  Mkuu Kasim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na uratibu wa uanzishaji wa Benki ya Taifa ya Ushirika na tayari sh. bilioni 15.7 zimekusanywa kutoka kwa wanahisa. Amesema kiasi hicho ni sawa na asilimia 78.5 ya mtaji wa sh. bilioni 20 zinazohitajika na
April 17, 2024

Nchimbi Sounds Alarm on Embezzlement Concerns

The Secretary General of the ruling party CCM,Ambassador Emmanuel Nchimbi, has expressed concern about embezzlement in the execution of key development projects, instructing contractors to deliver the projects promptly and according to the necessary standards. He instructed the contractor responsible for the
April 17, 2024

Waziri Mkuu Akagua Athari Za Maafa Rufiji

Wazri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi waliokumbwa na adha ya mafuriko nchini waendelee kuwa watulivu wakati Serikali ikiendelea kuratibu utoaji wa misaada kwenye maeneo yaliyoathirika. “Barabara ya Mkongo hadi Utete na ile ya kutoka Mloka Mkongo zote zimeathirika. Tunafanya kazi ya kurejesha
April 17, 2024

Trump Has An Unusual Request On Trial Day 1

The first ever criminal trial of a former US president got underway in state court in Manhattan on Monday with the difficult task of finding an impartial jury to sit for a trial that could last months. Despite the high stakes of prosecuting the
April 16, 2024

TAMISEMI Yaomba Bunge Kuidhinisha Shilingi Tril.10.125

Ofisi ya Rais – TAMISEMI,  imeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2024/25 yenye jumla ya shilingi trilioni 10.125 kwa taasisi zilizo chini yake, mikoa 26 ikijumuisha halmashauri 184. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti ya trilioni
April 16, 2024

Ripoti Ya CAG, Upigaji Bado Upo

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, imeonesha kuwa ununuzi na usimamizi wa mikataba katika mamlaka 35 za serikali za mitaa wa jumla ya Sh. bilioni 4.22 ulifanyika bila kuitisha nukuu za ushindanishi wa bei. Aidha, mamlaka 16 za serikali
April 16, 2024
1 216 217 218 219 220 248