Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Politics - Page 202

Court Allows New Evidence in Polepole Case

The High Court in Dar es Salaam has granted permission to lawyers representing former ambassador Humphrey Polepole to submit an additional affidavit in a high-profile case concerning his alleged abduction. The case, filed under an urgent habeas corpus application, seeks a court
October 10, 2025

Urusi na China: Kususia Mkutano wa Amani wa Uswisi

Katika hatua ya kidiplomasia ambayo inaonesha mshikamano unaokua kati ya Urusi na China, Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov, ametoa shukrani kwa uamuzi wa China kutoshiriki katika mkutano wa amani unaotarajiwa kufanyika nchini Uswisi kuhusu Ukraine. Lavrov ameipongeza China
June 14, 2024

Russia, Iran Discuss Expanding Cooperation, Bilateral Relations

Russian President Vladimir Putin held a phone conversation with Mohammad Mokhber, the Acting President of Iran. Both sides expressed their interest in further developing Russia-Iran cooperation, including through the implementation of promising joint projects in the energy and transportation sectors. Certain issues
June 14, 2024

Hoja za Muungano Zimefikia Pazuri

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amesema hatua ya utatuzi wa hoja za Muungano imefikia pazuri hivyo ni jukumu la Serikali kuendelea kutoa elimu hususan kwa vijana ili wapate uelewa kuhusu Muungano. Ameyasema hayo leo Juni 13, 2024 wakati akijibu swali la Mbunge
June 13, 2024

Tume Ya Uchaguzi, Wafungwa Na Wanafunzi Kupiga Kura

Katika juhudi za kuboresha ushiriki wa kila raia katika mchakato wa uchaguzi, Tume ya Uchaguzi imeanzisha mpango mpya wa kuwawezesha wafungwa, wanafunzi waliohukumiwa kifungo cha chini ya miezi sita, na mahabusu kupiga kura. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, ametangaza kuwa Tume
June 13, 2024

DR Congo Gets First Female PM

Judith Suminwa Tuluka was inaugurated early Wednesday as the first female prime minister of the Democratic Republic of the Congo (DRC). Before the National Assembly, the lower house of the DRC parliament, Tuluka and the 54 new government members officially assumed office
June 12, 2024

Vijana Mgombee, Muache Kubeba Mabegi ya Wagombea

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Cde.Seif Abdul Namtusi amezungumza na waandishi wa habari na kuzungumzia mambo mbalimbali ya maendeleo yaliyotekelezwa na serikali Wilayani Masasi chini ya ilani ya CCM ya mwaka,2020/ 2025
June 12, 2024

Zanzibar Celebrate 60 Years Of Progress

Zanzibar marked a significant milestone on June 11, 2024, as the nation commemorated the 60th anniversary of the Zanzibar Revolution and the Union of Tanzania. The celebratory conference, held at the Dr. Mohamed Ali Shein Campus, brought together dignitaries and stakeholders to
June 11, 2024
1 200 201 202 203 204 248