Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Bernabeu Kugeuzwa Ukumbi wa Harusi Kisa Madeni

Kwa mujibu wa Mundo Deportivo Klabu ya Real Madrid sasa ina deni kubwa zaidi kuliko......
May 24, 2024
by

Hali ya madeni ni mbaya kwa Real Madrid na hii imepelekea kuanza kuandaa harusi katika uwanja wao wa Bernabeu kama njia mojawapo ya kukusanya fedha ya kulipa mikopo ya mabilioni ya fedha waliyokopa kwa ajili ya kufadhili ukarabati wa uwanja huo.

Kwa mujibu wa Mundo Deportivo Klabu ya Real Madrid sasa ina deni kubwa zaidi kuliko klabu yoyote nyingine barani Ulaya.

Soma Zaidi:Mbappe Aghadhabishwa na Swali

Licha ya kutinga Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya msimu huu bado timu hiyo imezidi kukimbizana na njia za kupunguza madeni yadaiwayo ikiwa ni pamoja na ujengajiwa uwanja huo pamoja na usajili wa wachezaji wenye thamani katika kikosi

Uwanja wa Bernabeu sasa una ubora wa hali ya juu, ukiwa na miundombinu ya kisasa kama vile paa linalofunguka na kufungwa, mfumo bora wa sauti na mwanga, pamoja na viti vya kisasa kwa ajili ya mashabiki.

 

Author

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Zimbabwe President Emmerson Mnangagwa Reshuffles Cabinet

President Emmerson Mnangagwa of Zimbabwe made changes to his cabinet

Ivory Coast President to Seek Fourth Term Amid Political Strife

Ivory Coast’s incumbent President Alassane Ouattara, aged 83, has formally