Breaking News
Breaking News
Dark
Light

editor

Majaliwa Akutana na Wafanyabiashara Kuhusu Kodi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, katika jitihada za kutatua changamoto za kodi zinazowakabili wafanyabiashara. Kikao hicho kimefanyika siku ya tatu tangu wafanyabiashara hao walipofunga maduka yao, wakilalamikia mzigo mkubwa wa
June 26, 2024

Uhuru Kenyatta Calls For Peace Amidst Ongoing Protest

Former President Uhuru Kenyatta has called for peace in the midst of the ongoing Finance Bills 2024 which on Tuesday culminated with protestors breaching the National Assembly. In a statement to newsrooms, Uhuru while mourning the loss of Kenyans killed during the
June 25, 2024

Kamata Wote Wanaochezesha Wanafunzi Ngoma – DC Magoti

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amepiga marufuku Watu kuandaa shughuli za ngoma kama vile mdundiko, unyago na sherehe za muziki na kuruhusu Wanafunzi kujumuika na kuserebuka kwenye shughuli hizo ambapo amemuagiza Mkuu wa Polisi Wilaya vitendo hivyo vitabainika akamate kuanzia
June 25, 2024

Geita Yashinda Ubingwa wa UMISSETA Dhidi ya Tabora

Katika fainali ya kusisimua ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) iliyofanyika mjini Tabora, timu ya mpira wa miguu ya wavulana kutoka Geita imetwaa ubingwa kwa kuifunga timu ya Tabora magoli mawili kwa moja. Mashindano haya ambayo yalihusisha timu kutoka mikoa
June 25, 2024

Tanzania’s Health Vision: Stronger Future Assured

Ministry of Health Secretary Dr . John  Jingu at a seminar held in  Dodoma City. reaffirmed the critical role of his ministry in shaping Tanzania ‘healthcare landscape for the upcoming fiscal year 2024/25 The seminar, attended by senior ministry officials, focused on
June 25, 2024

DC Pangani Aongoza Vita Dhidi Ukatili

Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala, ameanza kampeni kali dhidi ya vitendo vya ubakaji na ulawiti, akisisitiza kuwa watu wanaojihusisha na makosa haya watachukuliwa hatua kali za kisheria. Kilakala ameagiza Jeshi la Polisi kumkamata mtu mmoja katika kijiji cha Bushiri, anayeshtumiwa
June 25, 2024
1 34 35 36 37 38 82