Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Yanga Yamtamani Kibu Denis: Yaweka 150M Kumnasa

Inaelezwa Yanga wameweka mezani ofa ya shilingi milioni 150 pamoja na gari kwa mchezaji huyo wa zamani wa Mbeya City na tayari uongozi wa Yanga upo kwenye mazungumzo na wawakilishi wa mchezaji huyo.
May 9, 2024
by

Yanga ni kama imeamua kujiimarisha zaidi kwa ajili ya msimu ujao, inaelezwa chini ya Rais wa klabu hiyo, Hersi Said, wameanza mazungumzo na nyota wa Simba, Kibu Denis.

Mkataba wa mchezaji huyo na Simba unaisha mwishoni mwa msimu huu ingawa Simba wanataka kumbakisha mchezaji huyo, taarifa zinasema tayari uongozi wa Yanga umeingilia kati na kuanza mazungumzo ya kumsajili nyota huyo.

Also Read:Simba Yaikimbiza Azam Kimya Kimya

Inaelezwa Yanga wameweka mezani ofa ya shilingi milioni 150 pamoja na gari kwa mchezaji huyo wa zamani wa Mbeya City na tayari uongozi wa Yanga upo kwenye mazungumzo na wawakilishi wa mchezaji huyo.

Imeelezwa kuwa ofa waliyoweka Yanga ni Sh. milioni 150 na gari ikiwa ni sehemu ya ofa yao ya kumuhitaji nyota huyo ambaye mkataba wake unafika ukingoni mwishoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Taarifa zilizopatikana jana mchana zinasema viongozi wa Yanga wameanza mazungumzo na nyota huyo na kuweka ofa hiyo mezani lakini Kibu hajatoa tamko lolote la kukubali au kukataa ofa hiyo iliyokwa mezani na mabosi wa Yanga.

Mtoa taarifa amesema Kibu ameingia katika orodha ya wachezaji wanaotakiwa na Yanga baada ya Kocha Miguel Gamondi kutaka kuongezewa mshambuliaji mzawa kwa lengo la kuimarisha safu hiyo ya ushambuliaji.

“Licha ya kuwekewa ofa hiyo hadi sasa Kibu hajasema lolote kuhusu kukubali au kukataa, hii inatokana na kusubiria waajiriwa wake Simba kuhusu ofa yao, pia Azam FC nao wameonyesha nia ya kuhitaji huduma ya nyota huyo,” alisema mtoa taarifa hizo.

Alisema Simba nao hawajakata tamaa ya kumbakisha mchezaji huyo kwani nao wamemwekea ofa mezani mchezaji huyo.

“Sasa hivi Kibu ndio mwenye uamuzi kuamua wapi atie saini, ana ofa mbili za uhakika lakini pia Azam wameonyesha nia ya kumtaka pia,” alisema mtoa habari huyo.

Aliongeza kuwa mchakato wa usajili unaendelea kwa kasi ndani ya Yanga, baada ya viongozi na benchi la ufundi linaloongozwa Gamondi kukubaliana kuachana na Agustino Okrah na nafasi yake kuchukuliwa na Prince Dube.

“Kuhusu Musonda (Kennedy) kuna uwezekano mkubwa Yanga kubadilishana na mchezaji kutoka TP Mazembe, Phillipe Kinzumbi, mazungumzo kati ya Hersi na Rais wa klabu hiyo ya nchini DR Congo yanaendelea,” alisema mtoa taarifa hizo.

Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe alibainisha kuwa wapo makini sana katika usajili na wanachokifanya ni kuanza kuangalia na kufanyia kazi mapendekezo ya awali ya benchi la ufundi katika usajili.

“Niwaambie kuwa tutawashangaza watu kwenye usajili ujao, kwa sababu tunahitaji msimu ujao tuendelee kufanya vizuri katika mashindano mbalimbali ya ndani na kimataifa, wasubiri kuona kile viongozi wanachofanya,” alisema Kamwe.

Author

38 Comments

  1. Just wish to say your article is as astounding.
    The clearness in your post is just cool and i can assume you are an expert on this subject.
    Well with your permission allow me to grab your feed to keep updated with
    forthcoming post. Thanks a million and please carry on the enjoyable work.

  2. Whats up very nice blog!! Guy .. Beautiful ..
    Superb .. I’ll bookmark your site and take the feeds
    additionally? I’m happy to seek out a lot of useful info right here
    within the post, we need work out extra strategies
    in this regard, thanks for sharing. . . . . .

  3. Wow, fantastic blog format! How long have you ever been running a blog for?
    you make running a blog look easy. The entire look of your web site is wonderful,
    as neatly as the content material!

  4. Link exchange is nothing else except it is just placing
    the other person’s web site link on your page at proper place and other person will also do similar for you.
    online prostitute online prostitute online prostitute online
    prostitute online prostitute online prostitute online prostitute

  5. Attractive component of content. I simply stumbled upon your
    website and in accession capital to say that I get in fact enjoyed account your weblog posts.
    Any way I will be subscribing for your augment and
    even I achievement you get admission to consistently quickly.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Mali, Russia foreign ministers hold talks in Moscow

Mali’s foreign minister Abdoulaye Diop was in Moscow on Wednesday

Serengeti Crash Kills Chinese Tourist, Injures Six

On the evening of July 28, 2024, a tragic road