Wahenga wanasema anaeijua njia hakosei, kwa takribani miongo miwili ya maisha yake ya mpira mchezaji wa Timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Al Nassir ya huko Saudi Arabia amekuwa mfumania nyavu borawa muda wote licha ya panda na shuka za kuhama timu kadha wa kadha.
Licha ya kufananishwa uwezo na wachezaji wengi alioanza nao maisha ya mpira na hata vijana wa sasa kama Mbappe,Halaand na Jude Belligham bado Christian Ronaldo ameendelea kuwaka katika kupachika mabao akiwa na muendelezo bora wa miaka kwa miaka
Soma Zaidi:Lionel Messi Reveals No Retirement Plans Yet
Katika mechi iliyochezwa dhidi ya Al-Ittihad , Mkongwehuyo wa miaka 39 alitupia bao lililomfanya kufikisha idadi ya mabao 893 katika maisha yake ya soka na kufikisha mabao 35 kwa msimu 2023/2024 akivunja rekodi iliyoshikiliwa na Abderrzak Hamdallah katika msimu wa 2018/19 wa Saudi Pro Legue.
Ikumbukwe Cristian Ronaldo ni moja ya wachezaji ghali zaidi katika ligi kuu ya Saudi Arabia akisajiliwa kitokea timu ya Manchester United ya nchini uingereza
kupitia mtandao wake wa X Mchezaji huyo ni kama amerusha jiwe gizani hasa kwa wapinzani wake kwa kuandika”I DO NOT FOLLOW THE RECORDS,THE RECORDS FOLLOW ME” akimaanisha kuwa Rekodi humfuata yeye na si yeye huzifata.
Hello colleagues, how is the whole thing, and what you wish for to
say about this article, in my view its really amazing for me.
What’s up, every time i used to check weblog posts here early
in the break of day, because i love to learn more and more.
It’s not my first time to go to see this site, i am
browsing this site dailly and get nice information from here everyday.
Just desire to say your article is as surprising.
The clarity on your put up is simply great and that i can suppose you’re a professional in this subject.
Well along with your permission let me to take hold of your RSS feed to stay up to date with imminent post.
Thanks one million and please continue the rewarding work.
I do not even know how I finished up here, but I assumed this publish used
to be good. I don’t understand who you might be but certainly you’re
going to a famous blogger should you are not already.
Cheers!