Dark
Light

Rais Samia apokea ripoti maandalizi mazishi ya Lowassa

Rais Samia apokea ripoti maandalizi mazishi ya Lowassa
February 16, 2024
by

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024. Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella

 

Author

3 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Chadema to Challenge Registrar’s Power in Court

Tanzania’s main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),

Mafanikio ya Burna Boy Yanadhihirisha Utajiri wa Muziki Kiafrika

Msanii wa muziki Burna Boy, ambaye pia anajulikana kama “The