Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Rais Samia apokea ripoti maandalizi mazishi ya Lowassa

Rais Samia apokea ripoti maandalizi mazishi ya Lowassa
February 16, 2024
by

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024. Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella

 

Author

3 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Shabiki Ajitokeza Peke Yake Uwanjani

Mechi ya ligi daraja la tatu nchini Ufaransa iliyochezwa jana

Vijana Watakiwa Kujenga Hoja, Siyo Kuwasifu Viongozi

 Nusrat Hanje, Mbunge wa Viti Maalum, amewataka vijana wa Tanzania