Dark
Light

Rais Mwinyi akutana na Naibu Kamishna Wa Haki za Binadamu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Naibu Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu, Nadal Al-Nashif na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe: 9 Machi 2024.
March 9, 2024
by

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Naibu Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu, Nadal Al-Nashif na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe: 9 Machi 2024.

Aidha Rais Dk.Mwinyi amesema Zanzibar kuimairisha ushirikiano katika kujenga uwezo Taasisi za kisheria hususani utekelezaji wa sheria, Mahakama na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka .

Naye Naibu Kamishna Nadal Al-Nashif amesema wataisaidia Zanzibar katika kuwajengea uwezo hususani Taasisi za kisheria.

Vilevile katika mazungumzo yao wamezungumzia nafasi ya Vyombo vya habari, huduma za maendeleo ya kijamii, utalii, Serikali ya Umoja wa Kitaifa, na uwezeshaji wa Wanawake na Vijana .

 

Source : Ikulu Habari

Author

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Mbowe Calls for National Healing After Mtei Funeral

Tanzania’s former opposition leader, Freeman Mbowe, has issued a strong

Jacob Zuma Disqualified From National Elections

Former South African President Jacob Zuma has been disqualified from