Dark
Light

Rushwa kwa WaandIshi wa habari sababu hawalipwi vizuri-Utouh

Mkurugenzi wa Taasisi ya Wajibu Ludovick Utouh amesema katika tukio la sauti za waandishi kuwa “ ni ngumu kukomesha rushwa kwa waandishi wa habari kwa sababu hawalipwi vizuri”leo Februari 16 jijini Dar es Salaam.
February 17, 2024
by

Mkurugenzi wa Taasisi ya Wajibu Ludovick Utouh amesema katika tukio la sauti za waandishi kuwa “ ni ngumu kukomesha rushwa kwa waandishi wa habari kwa sababu hawalipwi vizuri”leo Februari 16 jijini Dar es Salaam.

“Baadhi ya vyombo vya habari vina hali ngumu ya kiuchumi ili kumuwezesha muandishi kwenda sehemu ya tukio ambapo ni mbali na eneo lake kwa lengo la kutimiza wajibu wake, lakini endapo atachukua pesa hiyo kama sehemu ya ulaghai wa kuandika mazuri ya aliyemtuma basi hiyo itakuwa rushwa.”Amesema Utouh

Mkurugenzi huyo alitoa maoni hayo baada ya swali kutoka kwa mdau Benedict Mrema kuuliza “je kuna ubaya muandishi wa habari kupewa pesa ya kwenda kufata habari mbali na eneo lake kama sehemu ya kumuwezesha kufanya kazi kwa usahihi?”

Pia Fausta Msokwa amesema muandishi wa habari kupewa bahasha ni tatizo kwa namna yoyote ile kwasabubu itamfanya aegemee upande mmoja ili siku nyingine asikose kuwezeshwa wakati wa utoaji taarifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Ghana Veep,Idris Elba discuss growth of Creative Arts Economy

Vice President Dr Mahamudu Bawumia and Hollywood actor Idris Elba,

Will Ghana’s History Be Kind To Outgoing President Akufo-Addo?

As President Nana Addo Dankwa Akufo-Addo wraps up his time