Dark
Light

#SayansinaTknolojia #Mkumbo #samiasuluhuHassan

Wanafunzi 700 Kusomeshwa Bure Na Serikali

Serikali imesema wanafunzi 700 watakaofaulu vizuri masomo ya sayansi na wakihitaji kusoma vyuo vya hapa nchini, watasomeshwa bure. Aidha, wanafunzi watakaosoma masomo ya sayansi, uhandisi, Tehama, elimu tiba na hisabati hawatakuwa na gharama za kulipia, kwamba serikali itawagharamia kila kitu.…
May 30, 2024

ADVERT